From Wikipedia, the free encyclopedia
Konya (kwa Kituruki: قونیه; pia Koniah, Konieh, Konia, na Qunia; kihistoria pia unajulikana kama Ikonio kutoka Kilatini Iconium na Kigiriki: Ἰκόνιον Ikónion) ni mji uliopo nchini Uturuki. Huu ni mji mkuu wa Jimbo la Konya.
Mji huo uko katikati ya mkoa wa Anatolia, mita 1,200 juu ya usawa wa bahari.
Mji una wakazi wapatao 1,412,343 (kwa hesabu ya mwaka wa 2007).
Mtume Paulo alihubiri wake huko walau katika safari yake ya kwanza ya umisionari.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.