Lyon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Lyon ndiyo mji mkuu wa mkoa wa Rhône-Alpes na wa tatu katika Ufaransa nzima. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka 2007, mji huu pamoja na vitongoji vyake una wakazi wapatao milioni 4.4. Mji upo mita 162-312 juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Jiji la Lyon | |
Mahali pa mji wa Lyon katika Ufaransa |
|
Majiranukta: 45°45′1″N 4°50′3″E | |
Nchi | Ufaransa |
---|---|
Mkoa | Rhône-Alpes |
Wilaya | Rhône |
Idadi ya wakazi (2006) | |
- Wakazi kwa ujumla | 1,783,400 |
Tovuti: www.lyon.fr |
Funga