Miriam Makeba
From Wikipedia, the free encyclopedia
Miriam Makeba (4 Machi 1932 – 10 Novemba 2008), aliyeitwa pia Mama Afrika, alikuwa mwanamuziki kutoka nchi ya Afrika Kusini. Yeye ni mashuhuri hasa kwa kufahamisha muziki wa Afrika nje ya bara lake.
Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amekufa ...
Miriam Makeba | |
Amezaliwa | 4 machi 1932 Johannesburg |
---|---|
Amekufa | 10 November 2008 Italia |
Nchi | Afrika Kusini |
Majina mengine | Miriam Makeba |
Kazi yake | Mwanamuziki |
Funga