MmonakiFrom Wikipedia, the free encyclopedia Mmonaki (kutoka Kigiriki μοναχός, monachos, "wa pekee") ni mwanamume au mwanamke anayefanya juhudi za pekee katika dini yake, akiishi peke yake au katika jumuia ya kitawa, ambayo nyumba yake inaitwa monasteri. Wamonaki wa Ubuddha wakijadiliana katika Sera Monastery, Tibet Abati wa monasteri ya Ubuddha anafundisha wanovisi, Uttaradit, Thailand.
Mmonaki (kutoka Kigiriki μοναχός, monachos, "wa pekee") ni mwanamume au mwanamke anayefanya juhudi za pekee katika dini yake, akiishi peke yake au katika jumuia ya kitawa, ambayo nyumba yake inaitwa monasteri. Wamonaki wa Ubuddha wakijadiliana katika Sera Monastery, Tibet Abati wa monasteri ya Ubuddha anafundisha wanovisi, Uttaradit, Thailand.