Mnjugu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mnjugu (Arachis hypogaea) ni mmea wa mazao wa nusufamilia Faboideae katika familia Fabaceae unaozaa njugu (pia karanga), mbegu zake ambazo zipo mbili mbili (pengine moja) ndani ya makaka. Tofauti na makaka ya kawaida vikonyo vya yale ya mnjugu huingia ardhini na makaka yanaendelea chini.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mnjugu (Arachis hypogaea) | ||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mnjugu katika kichungu | ||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||
|
Funga