Mouscron
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mouscron (pia: Moeskroen) ni mji wa Wallonia nchini Ubelgiji. Idadi ya wakazi wake ni takriban 52.825.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Mouscron | |||
| |||
Nchi | Ubelgiji | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Wallonia | ||
Idadi ya wakazi (2008) | |||
- Wakazi kwa ujumla | 52.825 | ||
Tovuti: http://www.mouscron.be/ |
Funga