Mpunga
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mpunga ni aina ya mimea katika familia ya manyasi (Poaceae). Spishi kadhaa zinapandwa katika sehemu mbalimbali za dunia, lakini mpunga wa kiasia ni ile ya kawaida.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mpunga (Oryza spp.) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mpunga wa kiasia | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga
Mpunga ni chanzo cha chakula kwa watu wengi duniani. Punje (mbegu) zake ni nafaka na huitwa mchele. Mchele uliopikwa ni wali.