Salvador, Bahia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Salvador ni jina la mji mkuu wa jimbo la Bahia katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao milioni 3 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 8 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Salvador | |||
| |||
Majiranukta: 12°58′29″S 38°28′36″W | |||
Nchi | Brazil | ||
---|---|---|---|
Kanda | Northeast | ||
Jimbo | Bahia | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 2,998,096 | ||
Tovuti: www.salvador.ba.gov.br |
Funga