Uswidi
nchi katika Ulaya Kaskazini / From Wikipedia, the free encyclopedia
Uswidi (kwa Kiswidi: "Sverige") ni nchi ya Skandinavia katika Ulaya ya Kaskazini. Imepakana na Ufini (Finland) na Norwei.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: För Sverige i tiden1 (Kiswahili: "Kwa Uswidi, wakati wake") | |||||
Wimbo wa taifa: Du gamla, du fria ("Wewe kizee,wewe huru") | |||||
Mji mkuu | Stockholm 59°21′ N 18°4′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Stockholm | ||||
Lugha rasmi | Kiswidi2 | ||||
Serikali Mfalme Waziri Mkuu |
Ufalme wa kikatiba Carl XVI Gustaf Magdalena Andersson | ||||
Kuungana kwa nchi {{{established_events}}} |
{{{established_dates}}} | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
450,295 km² (55) 8.7% | ||||
Idadi ya watu - 2021 kadirio - 2013 sensa - Msongamano wa watu |
10,402,070 (2021) (88) 9,658,301 25/km² (198) | ||||
Fedha | Swedish krona (SEK ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
CET (UTC+1) CEST (UTC+2) | ||||
Intaneti TLD | .se | ||||
Kodi ya simu | +46 | ||||
1 För Sverige i tiden ni kaulimbiu ya mfalme Carl XVI Gustaf 2 Kiswidi ni lugha ya kitaifa kuanzia mwaka 2009. Lugha nyingine tano zimekubalika rasmi kama lugha za vikundi vidogo ndani ya taifa. |
Funga