Jumatatu, 10 Nov 2025
Remove ads
Most read


Tanzania
nchi ya Afrika Mashariki
Tanzania ni nchi iliyopo Afrika ya Mashariki, ndani ya ukanda wa maziwa makuu ya Afrika. Imepakana na Uganda na Kenya upande wa kaskazini, Bahari ya Hindi upande wa mashariki, Msumbiji, Malawi na Zambia upande wa kusini, Kongo, Burundi na Rwanda upande wa magharibi. Eneo la Tanzania ni takriban kilometa za mraba 947,303. Eneo linalokaliwa na maji ni asilimia 6.2. Mlima Kilimanjaro, mlima mrefu zaidi barani Afrika, upo kaskazini-mashariki mwa Tanzania. Idadi ya watu kwa mujibu wa sensa ya mwaka 2022 ilikuwa 61,741,120. Msongamano wa watu ni 47.5 kwa km².
Mji mkuu ni Dodoma
193 views
Show more







