Aachen
From Wikipedia, the free encyclopedia
Aachen (tamka: akhen) ni jiji la nchini Ujerumani ambalo lipo katika jimbo la Rhine Kaskazini-Westfalia.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Aachen | |
Mahali pa Aachen katika Ujerumani |
|
Majiranukta: 50°46′31″N 06°04′58″E | |
Nchi | Ujerumani |
---|---|
Jimbo | Rhine Kaskazini-Westfalia |
Idadi ya wakazi (2009) | |
- Wakazi kwa ujumla | 258,380 |
Tovuti: http://www.aachen.de/ |
Funga
Mji huo una wakazi wapatao 260,000 wanaoishi huko na unajulikana kwa kuwa na chuo kikuu cha Rheinisch-Westfälisch Technische Hochschule (RWTH) na kuwa na historia nzuri ya kuanzia mwanzoni mwa Karne za Kati.