![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/1a/Flag_of_Argentina.svg/langsw-640px-Flag_of_Argentina.svg.png&w=640&q=50)
Argentina
From Wikipedia, the free encyclopedia
Argentina ni nchi kubwa ya pili ya Amerika Kusini. Ina eneo la km² 2,780,400 kati ya milima ya Andes upande wa magharibi na Bahari ya Atlantiki upande wa mashariki.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: Kihispania: En Unión y Libertad ("Katika umoja na uhuru") | |||||
Wimbo wa taifa: Oíd, mortales, el grito sagrado: Sikilizeni mlio mtakatifu ewe ninyi wenye kufa | |||||
![]() | |||||
Mji mkuu | Buenos Aires 34°20′ S 58°30′ W | ||||
Mji mkubwa nchini | Buenos Aires | ||||
Lugha rasmi | Kihispania | ||||
Serikali Rais |
Jamhuri Javier Mikei | ||||
Uhuru Mapinduzi ya Mei Tangazo la uhuru wa Argentina imetambuliwa |
25 Mei 1810 9 Julai 1816 1821 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
2,780,400¤ km² (ya 8) 1.1 | ||||
Idadi ya watu - 2014 kadirio - 2010 sensa - Msongamano wa watu |
42,669,500 (ya 32) 40,117,096 14.4/km² (ya 212) | ||||
Fedha | Peso ya Argentina (ARS ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
ART (UTC-3) ARST (UTC-3) | ||||
Intaneti TLD | .ar | ||||
Kodi ya simu | +54
- | ||||
¤ Argentina ina fitina na Uingereza kuhusu visiwa vya Falkland (Malvina), Visiwa vya South Georgia na South Sandwich na sehemu ya Antaktika. |
Funga
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f0/Ar-map.png/320px-Ar-map.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/5c/Vi%C3%B1edoCafayate.jpg/640px-Vi%C3%B1edoCafayate.jpg)
Imepakana na Paraguay, Bolivia, Brazil, Uruguay na Chile.
Kuna madai dhidi ya Uingereza juu ya visiwa vya Falkland (Malvina), Visiwa vya South Georgia na South Sandwich na sehemu ya Antaktika.