Asia ya Kusini-Mashariki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Asia ya Kusini-Mashariki ni kanda la bara la Asia lenye nchi zifuatazo:
- Brunei
- Myanmar (zamani Burma)
- Kambodia
- Timor ya Mashariki
- Indonesia
- Laos
- Malaysia
- Ufilipino
- Singapur
- Uthai (zamani Siam)
- Vietnam
Maeneo ya kibara -bila visiwa- yanajulikana pia kwa jina la Indochina.