![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/10/Boma_city_centre.jpg/640px-Boma_city_centre.jpg&w=640&q=50)
Boma (Kongo)
From Wikipedia, the free encyclopedia
Boma ni mji wa Kongo Kati, katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (zamani ilijulikana kama Zaire).
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/10/Boma_city_centre.jpg/640px-Boma_city_centre.jpg)
Makadirio ya idadi ya watu ni 162,521 (2012).
Boma ulikuwa mji mkuu wa Kongo ya Kibelgiji hadi mwaka 1926.