Chapati
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chapati au Chapathi ni aina ya mkate ambao haukufura (inayojulikana kama roti) kutoka Bara Hindi. Matoleo yake hupatikana nchini Turkmenistan, katika nchi za Afrika Mashariki: Uganda, Kenya na Tanzania na katika Afrika Magharibi, na miongoni mwa nchi nyingine, Ghana.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/9/98/Chapatiroll.jpg/640px-Chapatiroll.jpg)