Chuo Kikuu cha Pittsburgh
From Wikipedia, the free encyclopedia
Chuo Kikuu cha Pittsburgh ni chuo cha kiutafiti cha umma nchini Marekani. Jina la Kiingereza ni University of Pittsburgh, na kinaitwa kwa kifupi Pitt. Kiko mji wa Pittsburgh, jimbo la Pennsylvania. Pitt ina jengo maarufu linaloitwa “Cathedral of Learning,” au Jumba Kuu la Ujuzi kwa Kiswahili, ambalo ni jengo la mbili kwa urefu la elimu duniani. Pitt kina kampasi mbalimbali. Hizi Kampasi zipo mahali mbalimbali, pia.
Ukweli wa haraka Wito, Wito kwa Kiswahili ...
Chuo Kikuu cha Pittsburgh | |
---|---|
University of Pittsburgh | |
Wito | Veritas et Virtus (Kilatini) |
Wito kwa Kiswahili | Ukweli na Wema |
Kimeanzishwa | 1787 |
Aina | Chuo cha Umma |
Chansela | Joan Gabel |
Provost | Joseph J. McCarthy |
Mahali | Pittsburgh, Pennsylvania, Marekani |
Kampasi | Kampasi Kuu, Pittsburgh Kampasi ya Bradford, Kampasi ya Greensburg, Kampasi ya Johnstown, Kampasi ya Titusville |
Rangi | Bluu, Dhahabu |
Msimbo | Panthers (chui mweusi), |
Tovuti | https://www.pitt.edu/ |
Ukweli na Wema |
Funga