Dayron Robles
From Wikipedia, the free encyclopedia
Dayron Robles (alizaliwa Guantanamo, Cuba, 19 Novemba 1986) ni mwanariadha wa kuruka viunzi ambaye anashikilia rekodi ya mbio ya 110m ya kuruka viunzi kwa muda wa sekunde 12.87.Aliweka rekodi hii mnamo 12 Juni 2008 katika mashindano ya Golden Spike Ostrava na yeye ndiye Bingwa wa Olimpiki wa sasa.
Ukweli wa haraka Rekodi za medali, Riadha ya Wanaume ...
Rekodi za medali | ||
---|---|---|
Robles akiongoza katika fainali ya mbio ya 110m ya urukaji viunzi katika Olimpiki ya Beijing ya 2008 | ||
Riadha ya Wanaume | ||
Anawakilisha nchi Cuba | ||
Michezo ya Olimpiki | ||
Dhahabu | 2008 Beijing | 110 m ya urukaji viunzi |
Mashindano ya Mabingwa wa Dunia ya Ndani ya Ukumbi | ||
Fedha | 2006 Moscow | 60 m urukaji viunzi |
Funga