Durban
mji wa KwaZulu-Natal, Afrika Kusini / From Wikipedia, the free encyclopedia
Durban ni mji wa Afrika Kusini katika jimbo la KwaZulu-Natal. Kuna takriban wakazi milioni 4 . Fuko za Durban zapendwa na watalii kwa sababu maji ya Bahari Hindi si baridi na kuna jua tele. Bandari ya mji ni kubwa katika Afrika Kusini ni bandari asilia duniani yenye kina kikubwa.
Ukweli wa haraka Nchi, Majimbo ...
Jiji la Durban | |
Mahali pa mji wa Durban katika Afrika Kusini |
|
Majiranukta: 29°52′12″S 30°59′24″E | |
Nchi | Afrika Kusini |
---|---|
Majimbo | KwaZulu-Natal |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 3 468 086 |
Tovuti: www.durban.gov.za |
Funga