Entebbe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Entebbe ni mji nchini Uganda. Wakati mmoja, mji huu ulikuwa ngome ya serikali kwa eneo la Uganda, kabla ya Uhuru mwaka wa 1962. Entebbe ndiko eneo la Entebbe International Airport, uwanja wa ndege mkubwa wa Uganda wa kibiashara na kijeshi.Uwanja huu unajulikana kwa shughuli ya kishindo ya kuwaokoa mateka 100 waliotekwa nyara na kundi za kigaidiza PFLP na Revolutionary Cells (RZ).
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Jiji la Entebbe | |
Mahali pa mji wa Entebbe katika Uganda |
|
Majiranukta: 0°02′40″N 32°27′57″E | |
Nchi | ![]() |
---|---|
Mkoa | Kati |
Wilaya | Wakiso |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 70,200 |
Funga