Estonia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Estonia (kwa Kiestonia: Eesti au Eesti Vabariik) ni nchi ya Kibalti katika Ulaya ya Kaskazini. Imepakana na Latvia na Urusi.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: -- | |||||
Wimbo wa taifa: Mu isamaa, mu õnn ja rõõm | |||||
Mji mkuu | Tallinn 59°26′ N 24°45′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Tallinn | ||||
Lugha rasmi | Kiestonia | ||||
Serikali Rais Waziri Mkuu |
demokrasia Kersti Kaljulaid Kaja Kallas | ||||
Uhuru Ilitangazwa ilikubaliwa Ilitwaliwa na Urusi Ilitangazwa tena ilikamilika |
24 Februari 1918 2 Februari 1920 16 Juni 1940 20 Agosti 1991 6 Septemba 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
45,100 km² (ya 13) 4.56% | ||||
Idadi ya watu - 2014 kadirio - Msongamano wa watu |
1,315,819 (ya 154) 29/km² (ya 173) | ||||
Fedha | Euro (EUR ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
EET (UTC+2) EEST (UTC+3) | ||||
Intaneti TLD | .ee1 | ||||
Kodi ya simu | +372
- |
Funga
Finland iko ng'ambo ya Kidaka cha Ufini cha Bahari ya Baltiki na watu wake wana asili moja na Waestonia.