Februari
mwezi wa pili katika mwaka From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mwezi wa Februari ni mwezi wa pili katika Kalenda ya Gregori. Jina lake limetokana na neno la Kilatini februare, maana yake ni "kusafisha". Mwanzoni ilikuwa mwezi wa mwisho katika kalenda ya Warumi, na kalenda hiyo ni asili ya kuongeza siku kwa mwezi wa Februari ili kusawazisha mwaka. Ndiyo maana, Februari ina siku 28 lakini katika mwaka mrefu ina siku 29. Ilitokea mara tatu katika historia Februari ilikuwa hata na siku 30.
Jan - Februari - Mac | ||||||
1 | 2 | 3 | 4 | 5 | 6 | 7 |
8 | 9 | 10 | 11 | 12 | 13 | 14 |
15 | 16 | 17 | 18 | 19 | 20 | 21 |
22 | 23 | 24 | 25 | 26 | 27 | 28 |
29 | ||||||
Kalenda ya Gregori |
Mwezi huo wa Februari unaanza na siku ya juma sawa na mwezi wa Machi na wa Novemba; ila katika mwaka mrefu (wenye siku 366), siku yake ya kwanza ni sawa na mwezi wa Agosti.
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads