Florida
From Wikipedia, the free encyclopedia
Florida ni jimbo la Marekani la kujitawala katika kusini mashariki ya nchi. Umbo lake ni rasi inayoanza Marekani bara kuelekea Kuba. Upande wa magharibi ni maji ya ghuba ya Meksiko na upande wa mashariki maji ya Atlantiki. Upana wa rasi ni kati ya 160 hadi 200 km; upande wa kaskazini kabisa eneo la jimbo lapanuka kama kanda mwambaono wa ghuba ya Meksiko.
Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...
Florida | |||
| |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Mji mkuu | Tallahassee | ||
Eneo | |||
- Jumla | 170,304 km² | ||
- Kavu | 139,670 km² | ||
- Maji | 30,634 km² | ||
Tovuti: http://www.myflorida.com/ |
Funga
Florida imepakana na majimbo ya Marekani ya Georgia na Alabama. Nchi za Karibi za Kuba na Bahamas ni karibu.
Jina la Florida ni ya Kihispania, maana yake ni "yenye maua".