Guy Butler
Mwandishi wa Afrika Kusini (1918-2001) From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwandishi wa Afrika Kusini (1918-2001) From Wikipedia, the free encyclopedia
Frederick Guy Butler (21 Januari 1918 - 26 Aprili 2001) alikuwa mwandishi wa Afrika Kusini. Alifundisha kama profesa wa Kiingereza katika Chuo Kikuu cha Rhodes kule Grahamstown. Pia alitunga mashairi mengi.
Guy Butler | |
Amezaliwa | 21 Januari 1918 Eastern Cape, Afrika Kusini |
---|---|
Amekufa | 26 Aprili 2001 Afrika Kusini |
Nchi | Afrika Kusini |
Kazi yake | Mshairi |
Kipindi | 1952-2001 |
Pia alikuwa mhariri wa vitabu:
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Guy Butler kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.