Hargeisa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Hargeisa (kwa Kisomalia: Hargeysa; kwa Kiarabu: هرجيسا) ni mji mkuu wa Somaliland iliyojitenga na Somalia mwaka 1991. Iliwahi kuwa mji mkuu wa Somalia ya Kiingereza kuanzia 1941 hadi 1960. Kati ya 1960 hadi 1991 ilikuwa mji mkubwa wa pili wa Somalia.
Ukweli wa haraka Nchi, - Wakazi kwa ujumla ...
Jiji la Hargeisa | |||
| |||
Mahali pa mji wa Hargeisa katika Somaliland |
|||
Majiranukta: 9°33′47″N 44°4′3″E | |||
Nchi | Somaliland | ||
---|---|---|---|
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 760,000 |
Funga
Mji uko katika bonde kwenye kimo cha mita 1260 juu ya UB. Kimo kinasababisha hali ya hewa ya kupoa yaani hakuna joto kali jinsi ilivyo kwenye pwani ya Somaliland upande wa Ghuba ya Aden. Umbali na bandari ya Berbera ni km 160 kwa barabara.