Harrisburg, Pennsylvania
From Wikipedia, the free encyclopedia
Harrisburg ndiyo mji mkuu katika jimbo la Pennsylvania. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2007, mji una wakazi wapatao 530,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 98 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...
Harrisburg | |||
| |||
Mahali pa mji wa Harrisburg katika Marekani |
|||
Majiranukta: 40°16′11″N 76°52′32″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Pennsylvania | ||
Wilaya | Dauphin | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 47,196 | ||
Tovuti: www.harrisburgpa.gov |
Funga