HedhiFrom Wikipedia, the free encyclopedia Hedhi (kutoka Kiarabu حيض) ni kipindi maalumu katika mzunguko wa mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Wakati huo, ambao kwa kawaida unarudi kila baada ya mwezi mmoja hivi, yeye hutokwa na damu kwenye uke. Vifaa vya kuzuia damu ya hedhi.
Hedhi (kutoka Kiarabu حيض) ni kipindi maalumu katika mzunguko wa mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Wakati huo, ambao kwa kawaida unarudi kila baada ya mwezi mmoja hivi, yeye hutokwa na damu kwenye uke. Vifaa vya kuzuia damu ya hedhi.