Karne ya 16
karne / From Wikipedia, the free encyclopedia
Karne ya 16 ilikuwa kipindi cha miaka mia moja kati ya 1501 hadi 1600. Kikamilifu kilianza tar. 1 Januari 1501 na kuishia 31 Desemba 1600. Namba zake zinafuata hesabu ya miaka "baada ya Kristo".
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |
Karne ya 14 |
Karne ya 15 |
Karne ya 16
| Karne ya 17
| Karne ya 18
| ►
Miaka ya 1500 |
Miaka ya 1510 |
Miaka ya 1520 |
Miaka ya 1530 |
Miaka ya 1540 |
Miaka ya 1550 |
Miaka ya 1560 |
Miaka ya 1570 |
Miaka ya 1580 |
Miaka ya 1590
Kama kila "karne" ni kipindi kinachohesabiwa kwa hiari ya kibinadamu kwa sababu ni mgawanyo wa kalenda tu - hali halisi maendeleo na mabadiiliko makubwa hayafuati migawanyo ya kalenda ya kibinadamu.
Kuna mambo mengi yaliyotokea wakati wa karne hii.