![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ae/Detailed_SVG_map_of_the_Hispanophone_world.svg/langsw-640px-Detailed_SVG_map_of_the_Hispanophone_world.svg.png&w=640&q=50)
Kihispania
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kihispania (español; Kiingereza: Spanish) ni lugha ya kimataifa ambayo ni lugha ya kwanza kwa watu milioni 493; kwa jumla pamoja na wasemaji wa Kihispania kama lugha ya pili kuna milioni 568 duniani wanaosema vizuri Kihispania.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ae/Detailed_SVG_map_of_the_Hispanophone_world.svg/320px-Detailed_SVG_map_of_the_Hispanophone_world.svg.png)