Kipimo cha Beaufort
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kipimo cha Beaufort (ing. Beaufort scale) ni mfumo wa kupima kasi ya upepo. Msingi wake si kipimo kamili cha mwendo wa upepo bali kutazama matokeo ya upepo katika mazingira. Mfumo huu hutumiwa zaidi duniani ulianzshwa mnamo 1805 na MWingereza Francis Beaufort.
Kuna ngazi 12 halafu ngazi ya "sifuri" kama hakuna upepo kabisa.