![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4a/Detailed_SVG_map_of_the_Lusophone_world.svg/langsw-640px-Detailed_SVG_map_of_the_Lusophone_world.svg.png&w=640&q=50)
Kireno
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kireno (Português - tamka "purtuGESH") ni lugha ya Kirumi inayozungumzwa hasa nchini Ureno na Brazil, lakini pia Kusini mwa Afrika, Asia Kusini na Asia Kusini-Mashariki.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/4a/Detailed_SVG_map_of_the_Lusophone_world.svg/640px-Detailed_SVG_map_of_the_Lusophone_world.svg.png)
Imekuwa lugha ya kimataifa kutokana na historia ya ukoloni ya Ureno ikiwa na wasemaji wa lugha ya kwanza milioni 210-215; pamoja na wasemaji wa lugha ya pili kuna watu milioni 270 duniani wanaoelewana kwa Kireno, hivyo ni lugha ya 5 au ya 6 ulimwenguni.
Kutokana na historia ya ukoloni Kireno kimepatikana katika nchi zifuatazo: