Kiunzi cha mifupa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Kiunzi cha mifupa ni jumla ya mifupa kwenye mwili wa mtu na wanyama. Mwanadamu ana kiunzi cha ndani na mifupa ni sehemu imara chini ya ngozi na nyama ya mtu na kusudi lake ni mwili ushikamane na kuwa thabiti lakini inaruhusu pia mwendo wa viungo kimoja-moja.