Kyoto ni mji wa Japani uliokuwa mji mkuu wa nchi kati ya 794 na 1868. Ilikuwa makao makuu ya Tenno (Kaisari) wa taifa. Iko takriban kilomita 400 kusini magharibi ya Tokyo kwenye kisiwa cha Honshu.

Thumb
Kituo cha reli Kyoto.
Thumb
Hekalu ya Shinto mjini Kyoto.
Thumb
Kyoto, 1891

Sasa Kyoto ni mji mkubwa wa tatu nchini iliwa na wakazi milioni moja na nusu. Ni makao makuu ya mkoa wa Kyoto. Kuna taasisi za utamaduni na elimu pamoja vyuo vikuu.

Kyoto ni kati ya miji ya kale ya Japani. Kuna majengo mengi ya kihistoria kama mahekalu, majumba ya matenno na nyumba za kidesturi. Majengo kadhaa yameigizwa na UNESCO katika orodha ya urithi wa dunia.

Mazingira ya Kyoto pana milima mingi. Imepoteza cheo cha mji mkuu wakati Tenno Meiji alipohamisha makao yake kutoka hapa kwenda boma la Edo iliyokuwa Tokya baadaye.

Tazama pia

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu maeneo ya Japani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Kyoto kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Wikiwand in your browser!

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.

Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.