Maambukizo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Maambukizo humaanisha kuingia kwa vidubini katika mwili geni kama vidubini hivi vinabaki, vinazaa na kuenea.
Maambukizo mara nyingi yanasababisha magonjwa yanayoitwa "magonjwa ya kuambukiza".
Maambukizo humaanisha kuingia kwa vidubini katika mwili geni kama vidubini hivi vinabaki, vinazaa na kuenea.
Maambukizo mara nyingi yanasababisha magonjwa yanayoitwa "magonjwa ya kuambukiza".