Mkia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkia ni sehemu ya mwisho ya uti wa mgongo kwenye mwili wa wanyama wengi wa vertebrata. Jina hilo latumiwa pia kwa wanyama wengine wenye upanuzi mwembamba wa mwili upande wa nyuma na pia kutaja sehemu nyembamba ya nyuma kwa vitu mbalimbali.