Mkoa wa Amasya
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Amasya ni moja kati ya mkoa wa Uturuki. Upo katika eneo la Mto Yeşil Kanda ya Bahari Nyeusi kwa upande wa kaskazini mwa nchi. Una eneo la kilomita za mraba zipatazo 5,520. Idadi ya wakazi ya mkoani hapa imefikia kiasi cha 352,452.
Mkoa wa Amasya | |
---|---|
Maeneo ya Mkoa wa Amasya nchini Uturuki | |
Maelezo | |
Kanda: | Kanda ya Bahari Nyeusi |
Eneo: | 5520 (km²) |
Idadi ya Wakazi | 352,452 TUIK 2007 (est) |
Kodi ya Leseni: | 05 |
Kodi ya eneo: | 0358 |
Tovuti ya Gavana | http://www.amasya.gov.tr |
Utabiri wa hali ya hewa | turkeyforecast.com/weather/amasya |
Mkoa wa Amasya umeganyika katika wilaya 7 (mji mkuu umekoozeshwa):
Makala hii kuhusu maeneo ya Uturuki bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Mkoa wa Amasya kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.