Mkoa wa Kigoma
Mkoa wa Tanzania / From Wikipedia, the free encyclopedia
Mkoa wa Kigoma ni mmojawapo kati ya mikoa 31 ya Tanzania wenye postikodi namba 47000.
Ukweli wa haraka Nchi, Wilaya ...
Mkoa wa Kigoma |
|
Mahali pa Mkoa wa Kigoma katika Tanzania | |
Majiranukta: 4°53′S 29°40′E | |
Nchi | Tanzania |
---|---|
Wilaya | 8 |
Makao makuu | Kigoma Ujiji |
Serikali | |
- Mkuu wa Mkoa | Rtd Commissioner Thobias Emiry Andengenye |
Eneo | |
- Jumla | 46,066 km² |
- Kavu | 37,037 km² |
- Maji | 8,029 km² |
Idadi ya wakazi (2022) | |
- Wakazi kwa ujumla | 2,470,967 |
Tovuti: kigoma.go.tz |
Funga
Umepakana na Burundi na Mkoa wa Kagera upande wa Kaskazini, mikoa ya Shinyanga na Tabora upande wa mashariki na Mkoa wa Rukwa upande wa kusini. Magharibi umepakana na Ziwa Tanganyika penye mpaka na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.