From Wikipedia, the free encyclopedia
Mlima wa Meza (kwa Kiingereza: Table Mountain) ni mlima wenye sehemu ya tambarare juu na mtelemko mkali upande.
Mlima wa Meza unaojulikana zaidi ni ule wa Cape Town (Afrika Kusini), ambao urefu wake unafikia mita 1,085 juu ya usawa wa bahari. Lakini umbo hili linapatikana sehemu nyingi duniani.
Asili yake ni volkeno iliyojitokeza chini ya barafuto. Kama kutokea kwa volkeno kunaendelea bila shindikizo mno yaani bila mlipuko, basi zaha (lava) yake huyeyusha barafu ya barafuto kuwa maji. Maji yapoza zaha haraka na kusababisha umbo la pekee la mlima unaokua.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.