![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/5/54/Aardbei_plant.jpg/640px-Aardbei_plant.jpg&w=640&q=50)
Mstroberi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mstroberi (Fragaria x ananassa) ni mmea mdogo wa familia Rosaceae unaotoa matunda mekundu (stroberi). Maua ni meupe. Mmea huu ni mvyauso kati ya Fragaria chiloensis na F. virginiana na kwa hivyo unatoa matunda makubwa zaidi.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi ...
Mstroberi (Fragaria x ananassa) | ||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
![]() Mstroberi | ||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||
|
Funga
Mistroberi hukuzwa sana katika kanda za tabianchi wastani na za nusutropiki na pia katika ukanda wa tropiki wakati wa majira ya baridi au milimani. Stroberi hupendwa sana kwa ajili ya ladha yao maalum tamu.