Mwewe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Mwewe ni ndege mbuai wa nusufamilia Elaninae na Milvinae katika familia Accipitridae. Hawana sifa bainifu pamoja isipokuwa wengi wana mkia mwenye panda. Mabawa yao ni marefu na miguu yao haina nguvu kwa sababu yake ndege hawa huruka sana angani. Hukamata aina nyingi za mawindo, kama wanyama wadogo, ndege na wadudu wakubwa, lakini hula mizoga sana pia.
Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Mwewe | ||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mwewe domo-njano | ||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||
| ||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||
Nusufamilia 2, jenasi 8
| ||||||||||
Funga