From Wikipedia, the free encyclopedia
Natal ni jina la mji mkuu wa jimbo la Rio Grande do Norte katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, mji una wakazi wapatao 800,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 30 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Natal | |||
| |||
Majiranukta: 5°47′00″S 35°12′00″W | |||
Nchi | Brazil | ||
---|---|---|---|
Kanda | Northeast | ||
Jimbo | Rio Grande do Norte | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 806,203 | ||
Tovuti: www.natal.rn.gov.br |
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Natal, Rio Grande do Norte kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.