Niue
From Wikipedia, the free encyclopedia
Niue ni nchi ya kisiwani katika Pasifiki ya kusini.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: {{{national_motto}}} | |||||
Wimbo wa taifa: Ko e Iki he Lagi | |||||
Mji mkuu | Alofi °′ °′ | ||||
Mji mkubwa nchini | |||||
Lugha rasmi | Kiniue, Kiingereza | ||||
Serikali | Ufalme wa kikatiba Malkia Elizabeth II wa Uingereza Anton Ojala Young Vivian | ||||
Nchi shiriki Katiba ya Niue |
19 Oktoba 1974 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
260 km² () 0 | ||||
Idadi ya watu - Julai 2011 kadirio - Msongamano wa watu |
1,611 (221) 5.35/km2/km² (--) | ||||
Fedha | New Zealand dollar (NZD ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
(UTC-11) (UTC) | ||||
Intaneti TLD | .nu | ||||
Kodi ya simu | +683
- |
Funga
Ni nchi ya kujitawala inayoshiriki na New Zealand inayoratibu siasa ya nje na mambo ya kijeshi.
Karibu wenyeji wote wanaishi huko New Zealand.
Niue iko km 2,400 kaskazini-magharibi kwa New Zealand kati ya Tonga, Samoa na Visiwa vya Cook.
Inahesabiwa kati ya visiwa vya Polinesia ikiitwa "Mwamba wa Polinesia".
Wakazi ni Wakristo, hasa Wakalvini (67%), halafu Wakatoliki (10%). Pia kuna Wamormoni (10%).