From Wikipedia, the free encyclopedia
Norfolk ni wilaya ya Uingereza kusini-mashariki. Imepakana na Bahari ya Kaskazini upande wa mashariki halafu na wilaya za Lincolnshire, Cambridgeshire na Suffolk.
Asili la jina ni zamani za Waanglia katika Uingereza waliokuwa na vitengo viwili yaani "Watu wa kaskazini" (northern folk = Norfolk) na watu wa kusini (southern folk = Suffolk).
Makao makuu ya wilaya ni mji wa Norwich. Wilayani kuna wakazi 816,500.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.