From Wikipedia, the free encyclopedia
Parma ni mji wa Italia katika mkoa la Emilia-Romagna. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 180,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 55 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Parma | |
Majiranukta: 44°48′00″N 10°20′00″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Emilia-Romagna |
Wilaya | Parma |
Tovuti: www.comune.parma.it |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.