![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/48/Sardinia_satellite.jpg/640px-Sardinia_satellite.jpg&w=640&q=50)
Sardinia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sardinia (kwa Kiitalia: Sardegna) ni kisiwa kikubwa cha pili katika bahari ya Mediteranea chenye eneo la km² 23,821.
![Bendera ya Sardinia.](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/3/3e/Bandiera_ufficiale_RAS.jpg/640px-Bandiera_ufficiale_RAS.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/48/Sardinia_satellite.jpg/640px-Sardinia_satellite.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ae/Giudicati_of_Sardinia_1.svg/320px-Giudicati_of_Sardinia_1.svg.png)
Pamoja na visiwa vidogo vya karibu ni mkoa wenye katiba ya pekee wa Italia. Kwa sasa umegawanyika katika wilaya 8, lakini mwaka 2012 wananchi walipiga kura ya kuzifuta.