Sochi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Sochi ni mji wa Urusi katika mkoa wa Krasnodar Krai. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2002, mji una wakazi wapatao 330,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 30 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Jiji la Sochi | |
Majiranukta: 40°53′16″N 74°2′53″W | |
Nchi | Urusi |
---|---|
Mkoa | Krasnodar Krai |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 328,809 |
Tovuti: www.sochiadm.ru |
Funga