From Wikipedia, the free encyclopedia
Springfield ni jina la mji mkuu wa jimbo la Illinois nchini Marekani. Mji upo karibu kabisa na jimbo lake. Katika sensa iliofanyaika mnamo mwaka wa 2000, mji huu wa Springfield ulikuwa na takriban watu 110,000 wanaishi mjini hapa. Mji upo m 182 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Springfield | |||
| |||
Mahali pa mji wa Springfield katika Marekani |
|||
Majiranukta: 39°46′59″N 89°39′1″W | |||
Nchi | Marekani | ||
---|---|---|---|
Jimbo | Illinois | ||
Wilaya | Sangamon | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 116,482 | ||
Tovuti: www.springfield.il.us |
Miji mikuu ya majimbo ya Marekani |
---|
Alabama • Alaska • Arizona • Arkansas • California • Colorado • Connecticut • Delaware • Florida • Georgia • Hawaii • Idaho • Illinois • Indiana • Iowa • Kansas • Kentucky • Louisiana • Maine • Maryland • Massachusetts • Michigan • Minnesota • Mississippi • Missouri • Montana • Nebraska • Nevada • New Hampshire • New Jersey • New Mexico • New York • North Carolina • North Dakota • Ohio • Oklahoma • Oregon • Pennsylvania • Rhode Island • South Carolina • South Dakota • Tennessee • Texas • Utah • Vermont • Virginia • Washington • West Virginia • Wisconsin • Wyoming |
Makala hii kuhusu maeneo ya Illinois bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Springfield, Illinois kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.