The Jackson 5
From Wikipedia, the free encyclopedia
The Jackson 5 lilikuwa kundi la muziki wa roki la nchini Marekani lililoundwa na wanamuziki watano; mmojawapo ni Michael Jackson. Nyimbo zilizoimbwa na kundi hili ni kama "The Love You Save", "I Will Be There", "Mamas Pearl" na "Never Can Say Goodbye".
Ukweli wa haraka Maelezo ya awali, Asili yake ...
The Jackson 5 | |
---|---|
The Jackson 5, mnamo 1972 | |
Maelezo ya awali | |
Asili yake | Gary, Indiana, Marekani |
Aina ya muziki | Motown, R&B, Funk,soul, pop, disco |
Miaka ya kazi | 1966ā1989 |
Studio | Steeltown, Motown, Philadelphia International, Epic |
Wanachama wa zamani | |
Jackie Jackson Tito Jackson Jermaine Jackson Marlon Jackson Michael Jacksonā Randy Jackson |
Funga