![cover image](https://wikiwandv2-19431.kxcdn.com/_next/image?url=https://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bf/Tokyo_Montage_2015.jpg/640px-Tokyo_Montage_2015.jpg&w=640&q=50)
Tokyo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jiji la Tokyo (東京都) ni mji mkuu wa Japani. Takriban watu milioni 12 huishi katika jiji hilo ambao ni sawa 10% ya Wajapani wote. Rundiko la mji lina wakazi milioni 35 na ni rundiko kubwa duniani.
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bf/Tokyo_Montage_2015.jpg/320px-Tokyo_Montage_2015.jpg)
Ukweli wa haraka Nchi, Kanda ...
Jiji la Tokyo | |||
| |||
Nchi | Japani | ||
---|---|---|---|
Kanda | Kantō | ||
Mkoa | Tokyo | ||
Idadi ya wakazi | |||
- Wakazi kwa ujumla | 12,976,698 | ||
Tovuti: www.tokyo.jp |
Funga
![Bendera ya Tokyo](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/15/Flag_of_Tokyo_Metropolis.svg/640px-Flag_of_Tokyo_Metropolis.svg.png)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/4/47/Location_TokyoJapan.jpg/640px-Location_TokyoJapan.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/b/bd/Shibuya_Tokio%2C_2001.jpg/640px-Shibuya_Tokio%2C_2001.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/f/f7/Tokyo_Marunouchi01s3872.jpg/640px-Tokyo_Marunouchi01s3872.jpg)
![Thumb image](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/7/7c/Tokio_population.svg/640px-Tokio_population.svg.png)
Tokyo ni kitovu cha Japani upande wa biashara, uchumi na siasa.
Mahali pa jiji ni tambarare ya Kanto kando ya hori ya Tokyo.