Tuxtla Gutiérrez ni mji mkuu na mji mkubwa katika jimbo la Chiapas. Kuna wakazi 503,320 (2005), na pamoja na rundika la mji ni 1,097,524. Eneo lake ni 412,40 km². Mji upo m 600 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Jiji la Tuxtla Gutiérrez | |
Nchi | Mexiko |
---|---|
Jimbo | Chiapas |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 503,320 |
Tovuti: www.tuxtla.gob.mx |
Mji ulianzishwa mwaka 1560.
Makala hii kuhusu maeneo ya Mexiko bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Tuxtla Gutiérrez, Chiapas kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand in your browser!
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.