From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1832 ulikuwa wa 12 katika historia ya Marekani. Ukafanywa tarehe 2 Novemba hadi 5 Desemba. Upande wa "Democratic Party", Rais Andrew Jackson (pamoja na kaimu wake Martin Van Buren) aliwashinda wagombea Henry Clay (pamoja na kaimu wake John Sergeant), John Floyd (pamoja na kaimu wake Henry Lee) na William Wirt (pamoja na kaimu wake Amos Ellmaker).
Jackson akapata kura 219, Clay 49, Floyd 11 na Wirt 7. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.